Saturday, March 17, 2012

HAIWEZEKANI TWENDENI.

Baadhi ya kina dada kutoka BAPRM 3 wakiwa wanaelekea uwanja wa kirumba kuangalia mechi ya majaribio kati ya PR 3 na timu inayoshiriki Ligi kuu ya Tanzania Toto African ya mwanza ambapo timu ya Toto African iliibuka na Ushindi wa goli 8-1.(By  Emmanuel  lyogohya)

No comments:

Post a Comment