KILI
MUSIC AWARDS 2012 NDANI YA MLIMANI CITY
Waendeshaji
wa hafla ya utoaji wa tuzo za Muziki Tanzania walikuwa ni Milard Ayoo na
Vanessa Mdee.
![]() |
Burudani
kutoka kwa vijawa T.H.T
|
![]() |
Ali
Kiba akitoa shukrani baada ya kupata tuzo.
|
![]() |
Mshindi
wa tuzo ya Dancehall,Quen Darlin akiifurahia tuzo yake mara baada ya
kukabidhiwa usiku huu.
|
![]() | ||||
Mkongwe katika Tasnia ya Muziki wa Taarab nchini,Bi. Shakira akiimba moja ya nyimbo zake alizowahi kuziimba kipindi cha nyuma. |
No comments:
Post a Comment