Saturday, April 14, 2012

UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA WASHEREHEKEA UBINGWA WA KOMBE LA UNITED CUP 2012

UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA WASHEREHEKEA UBINGWA WA KOMBE LA UNITED CUP 2012 

Picha ya pamoja kati ya Maafisa wa Ubalozi na Wachezaji

Vijana wa Kitanzania wakisherehekea ushindi kwa kucheza mziki.
Wachezaji wa Timu wa Mpira wa Miguu ya Ubalozi wa Tanzania nchini India wakikabidhi Kombe la Ushindi kwa Mhe. Balozi Eng. John W. H Kijazi
Mhe. Balozi Kijazi akikabidhi  Mipira kwa Mwalimu
Wa Timu Bw. Suleiman M. Rajab na Nahodha Bw. Roy G. Mbena 
Kombe la Ushindi la Mashindano ya Inter Embassies likiwa meza kuu
Mhe. Balozi Kijazi na Meneja wa Timu Brigedia. Generali Issa Nassor
wakifurahia Kombe  la Ushindi

Vyakula vya Kitanzania vya  aina mbali mbali vilizidisha haiba ya sherehe
 Afisa wa Ubalozi akimlisha Keki ya Ushindi Nahodha wa Timu
Mhe. Balozi na Watanzania wengine, wakichukua chakula
kilichoandaliwa mahsusi na Ubalozi kusherehekea ushindi
Wachezaji wa Timu wa Mpira wa Miguu ya Ubalozi wa Tanzania nchini India wakikabidhi Kombe la Ushindi kwa Mhe. Balozi Eng. John W. H Kijazi
Timu nzima ya Ubalozi na Maafisa wa Ubalozini wakisherehekea ubingwa




 

No comments:

Post a Comment