Monday, April 23, 2012

YANGA YAIFUNGA POLISI DODOMA 3-1

Kocha wa yanga Kostadin Papic akiwa na kocha wake msaidiziFredy Felix Minziro wakifuatilia kwa makini mchezo wa ligi kuu ya kati ya yanga na Polisi ya dodoma ,uliofanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza akiruka daruga la  kiungo wa Polisi Dodoma, Idd Ramadhani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-1.


By Elicy Michael

No comments:

Post a Comment