No wonder ndio timu ambayo ikishinda mjini kunakuwa na kelele sana
Man United ndio Klabu inayopendwa zaidi Duniani kote!
Kufuatia utafiti uliofanywa na Wakala wa Utafiti wa Masoko, Kantar, ambao ni moja wa vinara wa fani hiyo, uliofanywa katika Nchi 39, Manchester United ndio imetangazwa kuwa ni Klabu ya Soka inayoongoza Duniani kwa kupendwa baada ya kubainishwa na Mashabiki Milioni 659 katika utafiti huo kuwa ndio Klabu wanayoipenda.
Hivi karibuni, Mtandao wa Forbes, ambao ni Magwiji wa masuala ya Biashara na Fedha Duniani, waliitangaza Man United kuwa ndio Klabu yenye thamani, kifedha, kupita Klabu yeyote Duniani.
Manchester United ina Mashabiki Milioni 659 Duniani kote:
- Milioni 71 Marekani
- Milioni 90 Ulaya
- Milioni 173 Afrika na Mashariki ya Kati
- Milioni 325 Asia
By Elicy Michael,
No comments:
Post a Comment