hapa chini ni sehemu ya mkataba wa beki huyo na klabu ya Yanga yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani.
Mchezaji Kelvin Yondani akisaini mkataba wa usajili mbele ya kiongozi wa Yanga Seif Ahmed usiku huu, katika picha hii Yondani anaonekana akiwa amevaa fulana na timu ya taifa ambazo zimeanza kutumika mwezi mmoja uliopita baada ya stars kuingia mkataba na TBL KUPITIAKilimanjaro.
Taarifa nilizozipata hivi punde Yondani amefuatwa kwenye kambi ya timu ya Taifa iliyopo kwenye Hotel ya Tansoma jijini Dar Es Salaam.
Wakati huo huo Simba Sc imetangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili beki wake wa kati Kelvin Patrick Yondani, mkataba huo mpya ulisainiwa tangia mnamo 23/12/2011 ikiwa ni maboresho ya mkataba wa awali uliokua unafika kikomo mwishoni mwa mwezi uliopita yaani 31/05/2012. Yondani mwenye umri wa miaka 27 pia ni beki wa kimataifa wa Tanzania.
Kelvin Patrick Yondani
![]() |
|
Baadhi ya michezo ambayo Kelvin Patrick Yondani ameichezea timu ya Taifa ya Tanzania.
Tarehe | Nyumbani | matokeo | Ugenini | ||
---|---|---|---|---|---|
2012-06-02 | Côte d'Ivoire |
2 - 0
| Tanzania | ||
2012-05-26 | Tanzania |
0 - 0
| Malawi | ||
2012-02-23 | Tanzania |
0 - 0
| Congo DR | ||
2011-11-15 | Tanzania |
0 - 1
| Chad | ||
2011-11-11 | Chad |
1 - 2
| Tanzania | ||
2010-06-07 | Tanzania |
1 - 5
| Brazil | ||
2010-01-04 | Tanzania |
0 - 1
| Côte d'Ivoire |
No comments:
Post a Comment