Thursday, May 3, 2012

NGORONGORO HEROES YAWASILI MJINI KHARTOUM

Ngorongoro Heroes imewasili salama hapa Khartoum jana saa 4 usiku kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 dhidi ya Sudan. Mechi hiyo itachezwa Jumamosi kuanzia saa 2.00 usiku kwenye Uwanja wa Khartoum ambao ni wa nyasi bandia, na hakutakuwa na kiingilio kwa watazamaji.http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/ngorongoro-heroes-yawasili-mjini-khartoum

No comments:

Post a Comment