Wednesday, May 9, 2012

Redd's Miss IFM zapamba moto

Mbio za Kumsaka Redd's Miss IFM zapamba moto.

 Warembo watakaoshiriki kinyang'anyiro cha kumsaka Redd's Miss IFM 2012 wakiwa kwenye pozi la picha jioni ya leo kwenye ukumbi wa Break Point,Posta jijini Dar es Salaam,ikiwa ni maandalizi ya Shindano hilo linalotarajia kufanyika Mei 12,2012 katika viwanja vya ufukwe wa Cine Club jijini Dar.

Mwalim wa Warembo hao wanaojiandaa na shindano la Redd's Miss IFM,Ester Willson (kushoto) akitoa somo kwa washiriki hao wakati wa mazoezi ya kujiandaa na shindano hilo.

Picha ya pamoja na Mwalim(Mkufunzi ) wao.Picha na Elicy Michael

No comments:

Post a Comment