Wednesday, May 9, 2012

TANZANIA YAICHAPA LESOTHO 57-13 MICHUANO YA AFRIKA YA NETIBOLI

Kikosi cha timu ya Taifa ya Lesotho.




Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akisalimiana na wachezaji wa timu ya Taifa ya Netiboli ya Tanzania 'Taifa Queens'wakati ufunguzi wa mashindano ya Afrika yaliyoanza leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ambapo Tanzania imeichapa Lesotho kwa 57-13

Wanamuziki wa Bendi ya Mwenge Jazz wakitumbuiza wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Afrika ya Netiboli.


 Mlinzi wa timu ya taifa ya Netiboli Tanzania, ‘Taifa Queens’, Lilian Sylidion (kushoto), akiwania mpira mbele ya wachezaji wa timu ya Lesotho katika mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Taifa Queen's imeshinda 57-13.

 Kikosi cha Taifa Queen's.  Na Elicy Michael

No comments:

Post a Comment